Kisa hiki kilitokea mbuga ya katavi ambayo sasa ni mkoa, kuna mzungu alinunua kitaru kwa ajiri ya kuwinda wanyama. sasa siku moja akaenda kuangalia kitaru chake akiongozana na askari pamoja na wazungu wenzie Ile kufika akamkuta Mzee mmoja anatoka kwenye kitaru chake huku kabeba mnyama begani. Mule kwenye gari walibaki baadhi ya askari, inabidi askari wamwamulu Mzee kunyosha mikono juu na kuelekea kwenye gari ile kugeuka tu gari haipo pamoja na watu waluomo Ndani ya gari. mzungu akuamini kilichotokea inabidi amruhusu Mzee aende na myama ile mzee anaondoka gari ikaonekana ipo pale pale.

