Search This Blog

Thursday, November 3, 2022

USHUHUDA WA KWELI NAMBA 113.

     






Kisa hiki kilitokea mbuga ya katavi ambayo sasa ni mkoa, kuna mzungu alinunua kitaru kwa ajiri ya kuwinda wanyama. sasa siku moja akaenda kuangalia kitaru chake akiongozana na askari pamoja na wazungu wenzie Ile kufika akamkuta Mzee mmoja anatoka kwenye kitaru chake huku kabeba mnyama begani. Mule kwenye gari walibaki baadhi ya askari, inabidi askari wamwamulu Mzee kunyosha mikono juu na kuelekea kwenye gari ile kugeuka tu gari haipo pamoja na watu waluomo Ndani ya gari. mzungu akuamini kilichotokea inabidi amruhusu Mzee aende na myama ile mzee anaondoka gari ikaonekana ipo pale pale.






USHUHUDA WA KWELI NAMBA 112

    




Kuna rafiki etu mmoja walikuwa na party koko beach,sasa yeye ni mnywaji wa pombe zote.sasa akiwa coco beach akaja muhudumu àkamletea soda,jamaa akamfokea wewe mimi nimeagiza kitu fulañi na sio soda.yule mwanamke ambaye ni muhudumu àkàmsogelea na kumfungulia huku akimwàmbia utàkunywa soda.

Muda huo ni yeye ndie anayemuona muhudumu wale wenźie hawamuoni.

Baada ya muda ndugu zake wanamuona kaka yao àkiogelea kweñda kati kati ya bahari,sasa wao wanamshangaa si ameagiza kinywàji na kuogelea hajui anaogeleaje kufika kule (maji mengi) .Wakainuka na kuañz kumkimbilia huku wakimwita jina lake jamaa hakugeuka wakamwita sana hakugeuka mara àka wapotea baharini.

POLISI na familia źikamtafuta kando wa mbambao siku tatu jàmaaa hakuonekana hai wala màiti.siku ya tatu usiku ndio jamaa kaja mwenyewe anajokokota hajiwezi na kufika nchi kavu akadondoka.wàtu kumuokota muhimbili.

Alipopona ndio akatusimulia kuwà baada ya kukataa soda yule mwanamke alikasirika sana na akamchukua na kwenda nae baharini çhini kabisa kuna mwamba ambao walikuwa wàkibishana muda wote .yule mwanamke alikuwa anamwambia kuwa anampenda na jamaa alikuwa na msimamo wa kumkataa na alivutwa kutaka kuelekea chini ya mwamba zaidi ndio jamaa alijizatiti ende zaidi na wamepambana muda wote mwishowe yule mwanamke àka mwambia una bahati mizimu ta kwenu ina nguvu na imekulinda.

akaçhwa ,jamàa akawa ana hangaika kupanda ule mwamba wa mawe maana alikuwa ànaona njia ya kutoka shida ni kupanda amehangaika kupanda juu wabmwamba wa jiwe mpaka akatoka.ndio kutoka amepoteza fahamu.





USHUHUDA WA KWELI NAMBA 111

    






I remember back in the days in the village when i used to trick boda guys..because our house was close to a cemetery.Once i climbed the bike i would stuff my nostrils with cottonwool without him knowing. Then when we got infront of the cemetery i would scare him and he would run for his life! On this fateful day, i boarded the bike as usual and stuffed my nostrils with cottonwool.when we got to the cemetry i scared him but this time he just stared at me.I danced all the ghost songs i know..but he didnt even move.I even spoke pidgin "oga..you no dey fear ghost!?" nothing happened.He got up and held my shirt "nipatie pesa zangu mjinga ii" I begged the guy to calm down and let me get it for him..i went into the cemetry as he held my shirt and followed me.As i was walking..i jokingly knelt down on a grave and knocked on it "Habari..nsaidie na 200 nipatie hii ghasia iniachilie" i thought this would scare the guy..but nothing! kidogo kidogo a hand stretched out from the grave holding 200/- note "chukua hii na unirudishie ukipata" My brothers and sisters..to date..i still dont know who carried who between me and the bikeman out of that cemetry.ile kitu nakumbuka tu ni nilijipata juu ya pikipiki at a neighbouring town.As for the bikeman sijui alienda wapi..i still have the bike parked at home .whenever i pass by that place,i always see my one pair of gucci shoe that fell off as i was running .It is not that i cannot go and get it oooo...just that i dont like gucci stuff anymore.Infact..i dont like shoes again!! 















USHUHUDA WA KWELI NAMBA 110

    






Nikiwa dodoma mtaa wa chang'ombe mwaka 2000 nilikua na rafiki mmoja ambae baba alikua mwanajesh(mzigua) na mama nesi ,wazazi wa huyo rafiki niliekua nae walitumia stuli kuhifadhia pesa,ilizibwa pande zote kwa vipande vya sealing board,

Wakati wa likizo moja ya mwezi wa sita ,huyo fafiki yangu alikua akija na pesa na tukatumia kwa mambo tuliojua wenyewe kwa wakati huo,

Alikua akiiba pesa kwa zaidi ya wiki tatu,jioni moja alipanga kuleta pesa ili twende club moja maarufu kama NK ,alikamatwa na bibi yake akitokea chumbani kwa wazazi wake na pesa,



Baada ya baba kurudi kazini ilikua ni kipigo cha mbwa mwizi,

Siku moja baada ya kipigo kwa huyo rafiki yangu nilifuatwa asubuhi na bibi yake akitaka nimpe kila alichoninunulia mjukuu wake,mimi nikatoa saa niliyokua nimevaa mkononi na kumkabidhi



Kilichofuata ni kuumwa magonjwa yasioeleweka,kila hospital walisema hawaoni kitu,ilikua navimba kiungo kimoja baada ya kimoja kwa kulala tu ,hata kama ni mara nne kwa siku bas nitavimba sehemu nne tofauti.

Niliish na mama wa kambo peke yake wakati huo huku mzazi wangu(baba) akiwa safarini kikazi,

Ilimbidi atafute njia mbadala (mtaalamu wa jadi) ili niweze kupona.




USHUHUDA WA KWELI NAMBA 109

    






Uchawi ni kweli Upo, Nikiwa Nimeenda Kurudia Shule Baada ya kukosa Nafasi ya kujiunga Form One 1994..Baba yangu Mkubwa..Tumbo moja na Baba Alikuwa anafundisha Shule ya Msingi Nyabhutanga Jimbo La Buchosa wilaya ya Sengerema 1990--1995.. Mzee wangu Alikuwa Anatembeza Bakora kama hana Akili nzuri siku moja Akachapa mwanafunzi wa Darasa la 6 na inasemekana Alikuwa hachapwi na walimu sababu ya Mama yake kuogopwa kwa Uchawi.. sasa baada ya Kwenda kushitaki kwa Mother yake, Saa 2 Usiku mother mtu Alikuja kumuonya Mzee wangu Home Asirudie tena kumchapa Binti yake.. Mzee Akamwambia Asimtishe na Asirudie tena kuja kumletea vitisho..



Siku nyingine tena Miezi kama 3 Baada ya Tukio la mwanzo.. Yule Binti sijui Alikosea nini bhana Mzee Akamcharaza tena Bakora za Kutosha, mother usiku saa 1 Akaibuka home Kwetu Akamfokea sana Mzee wangu na kumuonya tena, Sasa Ba mkubwa Alivyokuwa mbishi sijui nini kilimpa si Akamdaka yule mother Akaanza kumtembezea Bakora za kutosha hadi walimu Jirani wanakuja kuamua Alikuwa Amemvuruga sana.. Hakwenda Polisi wala Hospital Alijiuguza hadi Akapona.. mwisho kwa Ile Fedheha Akahama Kijiji. Lakini mwaka Mmoja Baadae Ba mkubwa Akiwa Anakunywa Pombe kijiji Jirani cha Bukokwa Alishangaa Kumuona Yule mother Akiwa miongoni mwa wahudumu, Akashangaa Sana Ile bado Akiwa hajui La kufanya Akamwambia Afanye Matengenezo ya maisha yake Kisha ghafla kama upepo Akapotea.. Ba mkubwa Akiwa na Pombe kidogo kichwani Alimpuuza Lakini Alikuja Kutusimulia Kesho yake..



Baada ya Mwezi mmoja Ba mkubwa Akiwa Anatoka Kijiji cha Sukuma Akija Nyabhutanga Usiku Kama Saa 6 hivi Akiwa Anaendesha Baiskeli Ghafla Aliona Fuso Linakuja kwa kasi(Na kwa siku hiyo huo muda Hakuna Gari lilikokuja hapo kijijini kwa muda huo) Alijaribu kulikwepa na Kuishia kuanguka na kupoteza Faham. Alikaa Sengerema Hosptl miezi 3 baadae Tukamhamishia Bugando..Baada ya miezi 3 Akiwa Bugando Hospital Alifariki.. Huwa Naumia sana Kila nikitafakari tukio Hilo Maana Nilikuwa Nasomea Hapo kwake na Ndo Alikuwa kila kitu kwangu kwa wakati huo..





USHUHUDA WA KWELI NAMBA 108

    





Kisa changu mimi, nakumbuka mwaka 2011 nilipata kazi, ikanibidi nihame home nitafute getho. Nikapata ghetto la bei rahisi chumba sebule sehemu moja inaitwa "Kwa Ali Mboa". Huko Jeti lumo kama unaelekea airport hapa mjini daslama.



Kuna siku nimetulia sebleni usiku nacheki movie, mara nikapitiwa na usingizi makali ghafla. Nikiwa usingizini nikamuona mke wa jirani yangu anaingia ndani kwangu kajifunga kitambaa cheusi kifupi, akanifata kwenye kochi nilipokuwa nimejilaza, akanikanyaga kifuani, akageuka tena akataka kunikalia usoni. Wakati anataka nikalia nilisikia harufu mbaya sana inatokea kwenye private parts zake(sijui ni anus ama vagina). Nilihangaika hadi nikashtuka usingizini...nikajisemea, itakuwa ni ndoto tu hiyo. Mara nikapitiwa tena na usngizi mkali. Mara hii nilikaona katoto ka jirani yangu kanaingia ndani kwangu kakiwa kamejifunika kitu cheusi kama shuka jepesi kuanzia kifuani.



Hizi ndoto zikikuwa zinajirudia karibu kila nikilala lakini naona watu tofauti tofauti ninaowafahamu. Wengi wao wakiwa majirani zangu.



Nilipohama hiyo sehemu, sikuwahi kuota hizo ndoto tena. najiulizaga bila majibu kama zile zilikuwaga ni ndoto ama ni wachawi waliokuwa akinijaribu!!



Majirani zangu wote walikuwa wamakonde.





USHUHUDA WA KWELI NAMBA 107

    




Mimi na mshkj wng niliwahi kuenda kwa mtaalam mmoja nilimsindikiza uyo mshkj wng mimi nilikuwa sina imani na nguvu za giza insuch kipindi iko afu nilikuwa mbishi, sas bana yule mzee alisema kimasihara kuwa kuna dawa nikiwapa unaona wachaw na majin usiku, mshkj wng aliogopa akaikataa mm kwa kiherehere changu niliiomba uku nikijichekesha nakudhan ni mchezo wa kuigiza. Alinipa akaniambia hii utaoga usiku alafu na hii utaipaka kabla ya kulala afu hii kesho asubuhi utaogea na kupaka ili kuiondoa iyo hali ya kuendelea kuona ila sharti ni moyo usizungumze chochote pindi utakapokuwa uona ukizungumza utajijengea mazingira ya uadui..nikakubali, Haha ayse yanii ule usiku siusahau kwa vituko nilivyokuwa naviona dunia ina mambo mengi nyiny zaidi ya unavyoiona..



Nilikuwa naskia kwenye kordo mtu anatembea kuja usawa wa chumba tulicholala akivalia viatu vya mchechemea mara mlango unafunguliwa haingii mtu unaingia upepo tuu. Nikimuuliza mwenzangu anasema hajaskia mlango ukifunguliwa ninamawange amna kitu. Nilianza kupata kausingiz baada ya muda niliskia kishindo kwenye bati yan kwa kile kishindo ni kama uzito wa gari umeshuka juu ya bati mpaka nikawa nachungulia nakujiuliza iki kitu kwa kishindo iki hakijaingia ndan kwel nikimchek mwenzangu hata hajashtuka chochote kwa kile kishindo ndo kwanz anauchapa usingz na kukoroma, yalitokea matukio kadhaa kadhaa ila kubwa zaidi ilifika mda nkapitiwa tn na usingiz nkawa naota km kitanda iv kimeinuliwa juu nikashtuka kiaina ile nimefungu macho naona cyling body hii apa karb ni kitendo cha kunyanyua mkono na kuishika tuu nimepigwa na bumbuaz flan sekunde kadhaa nachek tn naona kitanda kipo fresh chini. Yan we acha tuu nilikoma usiskia mtu anasumbuliwa na mauza uza iv vitu ni hatar mnoo. Mara uskie ngoma nje zinapigwa mapaka yanalia kupitiliza yan af asbh nikiuliza wanasema hakukuna na milio ya paka jana





BLOG