Miaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
Niliwahi kutongoza mtoto wa ustadh mmoja kama mchepuko , mzee wake akanistukia , akaniacha tu ,ila balaa kila nikienda kupiga ,kitu hakisimami hadi tunatoka ila nikienda sehemu zingine napiga kama kawaida